SOMO LA ELIMU KWA MICHEZO LIFUNDISHWE KWA WANAFUNZI WOTE.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza ufundishaji wa somo la Elimu kwa Michezo ufanyike kwa wanafunzi wote katika Shule za Msingi na kuhamasisha wanafunzi wa shule za Sekondari kusoma somo hilo. Amesema kuwa hatua hiyo itawasaidia watoto kujenga moyo wa kujiamini, kuwa ubunifu, kuongeza mshikamano na umoja wa kitaifa pamoja na kuimarisha afya ya taifa. Ametoa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed